Jana February 2 2017 mkuu wa mkoa
Dar es salaam Paul Makonda alikutana na Waandishi wa habari na kutaja
orodha ya Wanaofanya biashara ya dawa za kulevya na wanaotuhumiwa
kutumia dawa za kulevya. Leo baadhi ya waliotajwa wameonekana
wakiingia kwenye kituo kikuu cha polisi kati Dar es salaam, tazama
kwenye hii video hapa chini kuona ilivyokua.
0 comments:
Post a Comment